Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thunder's Chet Holmgren Hypes Shai Gilgeous-Alexander as NBA MVP After
Playoff Win
-
Chet Holmgren let the world know. After the Oklahoma City Thunder jumped
out to a 2-0 series lead over the New Orleans Pelicans in their first-round
matchup…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment