Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy club gets blasted over Mad Monday costumes showing player dressed as
a schoolgirl being sexually assaulted by an AFL star
-
A senior women's football player has walked away from her club after a Mad
Monday stunt involving the men's team.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment