Winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya akipiga mpira dhidi ya mchezaji wa Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akipambana katikati ya wachezaji wa Mtibwa Sugar
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akimpita mchezaji wa Mtibwa Sugar jana
Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Stahmili Mbonde (kulia) akiuficha mpira dhidi ya beki wa Yanga, Kevin Yondan
Kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru |
0 comments:
Post a Comment