Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Booming new sport backed by Andy Murray and Rafael Nadal receives huge
boost in its bid to become an Olympic sport
-
The sport has been given a major boost in its attempts to become an Olympic
sport following the addition of a team-based competition backed by Andy
Murray ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment