Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool summer signing 'linked with shock exit from Anfield after just
seven months'... with Galatasaray interested in signing the out-of-favour
star
-
One of Liverpool's summer signings from last year could be making a swift
exit from the club after falling down the pecking order at Anfield,
according to ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment