• HABARI MPYA

    Wednesday, October 11, 2017

    BRAZIL YAWAKOMOA CHILE NA SANCHEZ KOMBE LA DUNIA

    Beki wa Brazil, Dani Alvez akipiga mpira kichwa mbele ya mshambuliaji wa Chile, Alexis Sanchez katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini Alfajiri ya leo Uwanja wa Allianz Parque mjini Sao Paulo. Brazil imeshinda 3-0 mabao ya Paulinho dakika ya 55 na Gabriel Jesus mawili dakika za 57 na 90 na ushei. Brazil imekwishafuzu kabla ya mechi ya jana na kwa kipigo hicho Chile inakosa nafasi ya kwenda Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YAWAKOMOA CHILE NA SANCHEZ KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top