Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza lilifungwa na Nacho Monreal dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry pinpoints what Man United's hierarchy must decide upon FIRST
before picking their next manager
-
Former United midfielder Michael Carrick is in interim charge until the end
of the season at Old Trafford, giving the Red Devils time to choose a
permanent...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment