• HABARI MPYA

    Sunday, October 01, 2017

    ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON

    Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza lilifungwa na Nacho Monreal dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI, YAICHAPA 2-0 BRIGHTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top