Kiungo Mghana wa Simba, James Kotei (kulia) akizungumza na Kaimu Makamu Mwenyekiti, Iddi Kajuna leo mchana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) baada ya kuwasili wakitokea Afrika Kusini walipokuwa wameweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na msimu mpya
Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Omog (kushoto) na Msaidizi wake, Jackson Mayanja (kulia) wakiwasili
Kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto akiwaongoza wenzake baada ya kuwasili
Beki mpya, Yussuf Mlipili aliyesajiliwa kutoka Toto Africans akitoka na mzigo
It's another huge test for Premiership leaders Hearts ... but are Hibs
capable of halting the Gorgie bandwagon?
-
In the 150 years which have passed since Hibs and Hearts first met, few
meetings between them have got the imagination of the country quite like
the one wh...
28 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment