• HABARI MPYA

    Thursday, August 03, 2017

    NEMANJA MATIC ALIVYOREJEA NA MAN UNITED MANCHESTER LEO

    Mchezaji mpya, Nemanja Matic aliyesajiliwa kutoka Chelsea kwa Pauni Milioni 40 akiwa mjini Manchester na wachezaji wenzake wapya wa Manchester United kutoka Dublin, ambako jana waliifunga 2-1 Sampdoria katika mchezo wa kirafiki PICHA ZAIDI GONGA ZAIDI 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEMANJA MATIC ALIVYOREJEA NA MAN UNITED MANCHESTER LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top