• HABARI MPYA

    Saturday, August 05, 2017

    MSUVA AFUNGA MABAO MAWILI TIMU YAKE IKISHINDA 3-1 MECHI YA KIRAFIKI

    Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (kushoto) akipongezwa na wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 jana dhidi ya Mouloudia Club of Oujda Uwanja wa El Abdi mjini Jadida.
    Simon Msuva aliyesajiliwa Difaa Hassan El-Jadida wiki iliyopita kutoka Yanga ya Tanzania akiambaa na mpira kwenye mchezo huo
    Simon Msuva akipiga mahesabu wakati wa mchezo huo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MSUVA AFUNGA MABAO MAWILI TIMU YAKE IKISHINDA 3-1 MECHI YA KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top