• HABARI MPYA

    Thursday, August 10, 2017

    LACAZETTE ALIVYO TAYARI KUANZA KUIBEBA ARSENAL ENGLAND

    Mchezaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette akifanya mazoezi leo kwenye viwanja vya mazoezi vya klabu hiyo St Albans kwa maandalizi ya mwishoni kuelekea mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Leicester City kesho usiku Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LACAZETTE ALIVYO TAYARI KUANZA KUIBEBA ARSENAL ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top