• HABARI MPYA

    Friday, August 11, 2017

    AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA KAMPALA

    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka beki wa KCCA katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Star Times mjini Kampala jana timu hizo zikitoka sare ya 1-1
    Kiungo wa Azam FC, Enock Atta Agyei akitafuta maarifa ya kumpita beki wa KCCA 
    Mshambuliaji Waziri Junior akiwatoka wachezaji wa KCCA 
    Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Mohammed akiwania mpira wa juu dhidi ya mchezaji wa KCCA
    Waziri Junior akimtoka beki wa KCCA
    Yanga Mohammed akimlamba chenga beki wa KCCA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA KAMPALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top