Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE NXT Results: Winners, Live Grades, Reaction and Highlights From May 7
-
Following two eventful weeks of Spring Breakin', NXT returned to its
regular Tuesday grind but still promised big moments building toward
Battleground. After…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment