Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton star scores outrageous overhead kick in stoppage time to rescue
late 1-1 draw against Bournemouth
-
NICK SZCZEPANIK AT THE AMEX: Charalampos Kostoulas pulled off an audacious
overhead kick to level Brighton's clash with Bournemouth in dramatic
fashion.
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment