Ronaldinho Gaucho akifumua shuti katikati ya wachezaji wa Manchester United jana Uwanja wa Nou Camp katika mchezo wa kirafiki baina ya magwiji wa timu hizo. Magwiji wa United walishinda 3-1, ingawa wa Barcelona walicheza mpira wa kusisimua hususan Ronaldinho na Rivaldo. Mabao ya Man United yalifungwa na Jesper Blomqvist dakika ya 14, Karel Poborsky dakika ya 57 na Dwight Yorke wakati la Barcelona lilifungwa na Frederic Dehu dakika za mwishoni na mchezo wa marudiano utafanyika Uwanja wa Old Trafford Septemba 2 GONGA HAPA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
'Precious' Lisandro Martinez is told to 'f****g' grow up by Nicky Butt
after Man United star hit back at his and Paul Scholes' 'shameful' comments
as club legends send warning to Argentina defender
-
Scholes and Butt joked ahead of United's derby win that Martinez's battle
with Erling Haaland was such a mismatch that the Man City striker would
pick up t...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment