Mratibu wa mashindano ya SportPesa Super Cup yanayotarajiwa kuanza Juni 5, Dar es Salaam, Teddy Mapunda akitoa semina elekezi kwa Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali nchini kuelekea michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza nchini ikishirikisha na timu za Kenya pia
Teddy Mapunda alikuwa akielezea namna mashindano hayo yatakavyokuwa
Mtangazaji wa Redio Clouds, Shaffih Dauda akisikiliza kwa makini somo la Teddy Mapunda
Mwandishi mkongwe, Majuto Omary (katikati) akiuliza swali katika semina hiyo
Mtendaji Mkuu wa Bin Zubeiry Sports - Online, Mahmoud Zubeiry (kulia) alikuwepo pia
Liverpool open talks with Feyenoord after identifying Arne Slot as the
ideal candidate to succeed Jurgen Klopp... as Reds face £8.5m compensation
fee to land the Dutchman
-
Slot, who was considered by both Tottenham and Chelsea last summer, has
found success since joining the Dutch side in 2021 and has become one of
the most p...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment