• HABARI MPYA

    Friday, June 23, 2017

    CAMEROON YAJIWEKA PAGUMU KOMBE LA MABARA

    Kiungo chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAMEROON YAJIWEKA PAGUMU KOMBE LA MABARA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top