Kiungo chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment