Wachezaji wa Ujerumani wakipeana mikono na wachezaji wa Australia baada ya ushindi wa 3-2 katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara jana Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Lars Stindl dakika ya tano, Julian Draxler dakika ya 44 kwa penalti na Leon Goretzka dakika ya 48 wakati ya Australia yalifungwa na Tom Rogic dakika ya 41 na Tomi Juric dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Greatest ever Champions League comebacks RANKED: Liverpool are no strangers
to sensational turnarounds ahead of uphill battle against PSG - but do they
boast the best in history?
-
No competition does comebacks quite like the Champions League . The feeling
that a tie is never truly over is part of what makes elite European
football so...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment