Wachezaji wa Ujerumani wakipeana mikono na wachezaji wa Australia baada ya ushindi wa 3-2 katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara jana Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Lars Stindl dakika ya tano, Julian Draxler dakika ya 44 kwa penalti na Leon Goretzka dakika ya 48 wakati ya Australia yalifungwa na Tom Rogic dakika ya 41 na Tomi Juric dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Canada's economy shrank more than expected to close out 2025
-
The growth data today follows a "mixed bag" report for Q3, with a stronger
headline number that masked economic weakness.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment