Kiungo wa Tanzania, Muzamil Yassin (kulia) akimtoka mchezaji wa Angola katika mchezo wa Kundi A Kombe la COSAFA Castle jana Uwanja wa Uwanja wa Royal Bafokeng mjini Rusternburg, Afrika Kusini. Timu zilitoka sare ya 0-0
Winga wa Taifa Stars, Shiza Kichuya (kushoto) akipambana na mchezaji wa Angola
Beki wa Taifa Stars, Erasto Nyoni (kulia) akimtazama mchezaji wa Angola wakati anapiga mpira
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment