Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo ameposti picha hii ya watoto wake pacha, Mateo na Eva waliozaliwa na mama ambaye hajatajwa baada ya kukutana nao kwa mara ya kwanza. Mchezaji huyo wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 32 ambaye Jumatano timu ya taifa, Ureno ilitolewa na Chile kwa penalti 3-0 baada ya sare ya 0-0 kwenye Nusu Fainali ya Kombe la Mabara nchini Urusi, sasa anafikisha watoto watatu baada ya Cristiano Jnr wa kwanza mwenye umri wa miaka saba sasa, lakini naye mama yake hajulikani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment