Beki wa kimataifa wa Ufaransa, Mamadou Sakho (kulia) anayechezea Crystal Palace kwa mkopo kutoka Liverpool, zote za England akiwa na mkewe, na wanawe katika kituo cha watoto yatima cha SOS Village visiwani Zanzibar jana ambako alipeleka misaada mbalimbali
Sakho alikuwa Zanzibar kwa wiki moja kwa ajili ya utalii na anatarajiwa kuondoka kesho
Kituo cha SOS kipo katika maazimisho ya miaka 26 tangu kuanzishwa kwake
Na Sakho alijumuika na watoto na walezi wa kituo hicho kwa furaha katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan naye pia akiwa anashiriki ibada hiyo
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment