• HABARI MPYA

    Saturday, June 24, 2017

    MAMADOU SAKHO ALIPOJUMUIKA NA WATOTO YATIMA ZANZIBAR

    Beki wa kimataifa wa Ufaransa, Mamadou Sakho (kulia) anayechezea Crystal Palace kwa mkopo kutoka Liverpool, zote za England akiwa na mkewe, na wanawe katika kituo cha watoto yatima cha SOS Village visiwani Zanzibar jana ambako alipeleka misaada mbalimbali 
     Sakho alikuwa Zanzibar kwa wiki moja kwa ajili ya utalii na anatarajiwa kuondoka kesho
    Kituo cha SOS kipo katika maazimisho ya miaka 26 tangu kuanzishwa kwake
    Na Sakho alijumuika na watoto na walezi wa kituo hicho kwa furaha katika mfungo huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan naye pia akiwa anashiriki ibada hiyo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMADOU SAKHO ALIPOJUMUIKA NA WATOTO YATIMA ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top