• HABARI MPYA

    Wednesday, June 21, 2017

    MFALME RONALDO AING'ARISHA URENO KOMBE LA MABARA

    Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao pekee dakika ya nane ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Urusi katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mabara leo Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MFALME RONALDO AING'ARISHA URENO KOMBE LA MABARA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top