• HABARI MPYA

    Thursday, June 29, 2017

    TAMBWE AONGEZA MIAKA MIWILI YANGA SC

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amissi Joselyn Tambwe (kulia) akisaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga SC huku akishuhudiwa na viongozi wa klabu hiyo. Zoezi hilo limefantika makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam leo
    Mhasibu Mkuu wa klabu, Baraka Deusdedit akimpekulia kurasa za kusaini Tambwe leo Jangwani 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAMBWE AONGEZA MIAKA MIWILI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top