Leon Goretzka (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za sita na nane katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Mabara leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao mengine ya mabingwa hao wa dunia yamefungwa na Timo Werner dakika ya 59 na Amin Younes dakika ya 90 na ushei, wakati la Mexico limefungwa na Marco Fabian dakika ya 89 na sasa Ujerumani itakutana na Chile katika fainali Julai 2 Uwanja wa Krestovsky mjini Saint Petersburg, Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment