Leon Goretzka (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za sita na nane katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Mabara leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao mengine ya mabingwa hao wa dunia yamefungwa na Timo Werner dakika ya 59 na Amin Younes dakika ya 90 na ushei, wakati la Mexico limefungwa na Marco Fabian dakika ya 89 na sasa Ujerumani itakutana na Chile katika fainali Julai 2 Uwanja wa Krestovsky mjini Saint Petersburg, Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB The Show 24 Review: Gameplay Videos, Features, Modes and Impressions
-
MLB The Show 24 from developer San Diego Studio is a little akin to a
championship club re-tooling its roster for continued success. The
long-running series…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment