Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
La Liga Results 2019 Week 17: Final Scores and Updated Table After Saturday
-
Barcelona dropped points at Real Sociedad on Saturday after a 2-2 La Liga
draw in the Basque Country. Atletico Madrid beat Osasuna 2-0 at the Wanda
Metropo...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment