Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
African Games: "We are well-prepared for Senegal"- Ghana U20 coach Desmond
Offei
-
Black Satellites coach, Desmond Offei, insists his team remains focused
ahead of their semi-final clash against Senegal at the African Games. The
Ghana U2...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment