• HABARI MPYA

    Sunday, June 25, 2017

    CHILE YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA AUSTRALIA

    Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHILE YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA AUSTRALIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top