Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment