• HABARI MPYA

    Saturday, June 24, 2017

    HUYU HAPA 'MTOA ROHO' OKWI NDANI YA HIMAYA YA SIMBA

    Mshambuliaji wa kimataifa wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Arnold Okwi baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo tayari kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na klabu ya Simba kwa mara ya tatu  
    Okwi anakuja akitokea SC Villa ya kwao, Uganda aliyojiunga nayo tena mwaka huu akitokea  SønderjyskE Fodbold ya Denmark
    Okwi akiwa na Makamu wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' baada ya kuwasili JNIA
    Okwi akipanda gari iliyokwenda kumpokea JNIA
    Okwi anaonyesha mkono, ishara ya kwamba yuko tayari kwa kazi tena Msimbazi
    Kaburu akimpa maelekezo dereva baada ya kupanda gari
    Okwi ndani ya gari iliyompokea akipiga hesabu maisha mengine Simba
    Gari iliyombeba Okwi inaondoka taratibu eneo la JNIA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HUYU HAPA 'MTOA ROHO' OKWI NDANI YA HIMAYA YA SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top