• HABARI MPYA

    Friday, June 30, 2017

    TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG

    Kiungo wa Tanzania, Erasto Nyoni akimtoka mchezaji wa Mauritius katika mchezo wa mwisho wa Kundi A Kombe la COSAFA Castle jana Uwanja wa Moruleng mjini Rusternburg, Afrika Kusini timu hizo zikitoka sare ya 1-1
     Mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri akimfukuzia mchezaji wa Mauritius
    Nahodha wa Tanzania, Himid Mao akimtoka mchezaji wa Mauritius
    Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akimtoka mchezaji wa Mauritius jana
    Nahodha wa Tanzania, Himid Mao akipambana na mchezaji wa Mauritius jana
    Beki wa Tanzania, Gardiel Michael akiruka kugombea mpira na mchezaji wa Mauritius
    Beki wa Tanzania, Salim Mbonde akimdhibiti mchezaji wa Mauritius jana 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS NA MAURITIUS KATIKA PICHA JANA MORULENG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top