Alexis Sanchez (kulia) akimkimbilia Arturo Vidal kumpongeza baada ya kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Sanchez ndiye aliyetoa krosi ya bao hilo na akaseti na la pili pia lililofungwa na Eduardo Vargas dakika ya 90 na ushei baada ya kutokea benchi dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Edson Puch PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment