Ricardo Quaresma akishangilia na Cristiano Ronaldo aliyemsetia nafasi ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 34 katika sare ya 2-2 na Mexico kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan, Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na Cedric Soares dakika ya 86, wakati mabao ya Mexico yamefungwa na Javier Hernandez 'Chicharito' dakika ya 42 na Hector Moreno dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Drake bets $200,000 on Jake Paul to beat Anthony Joshua - with incredible
pay-out - and risks paddling him with his infamous 'curse'
-
Jake Paul doesn't need much help to make himself the unfancied option in
his Netflix mega-fight against Anthony Joshua - but Drake might have just
delivered.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment