Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan (kulia) akiwa katika kikao na viongozi wa kampuni ya SportPesa Tanzania jana ofisini kwake, Dar es Salaam. Mama Samia amekubali ombi la viongozi hao wa SportPesa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kirafiki kati ya Everton ya England na Gor Mahia ya Kenya, iliyotwaa kombe la michuano ya SportPesa iliyomalizika hivi karibuni Dar es Salaam. Mchezo huo utafanyika Julai 13, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
The question on every Aussie cricket fan's lips is answered as team reveals
Boxing Day Test replacements for Pat Cummins and Nathan Lyon
-
Australia will once again be without Lyon and Cummins after their
match-turning efforts as the Aussies secured the urn in Adelaide.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment