Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan (kulia) akiwa katika kikao na viongozi wa kampuni ya SportPesa Tanzania jana ofisini kwake, Dar es Salaam. Mama Samia amekubali ombi la viongozi hao wa SportPesa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kirafiki kati ya Everton ya England na Gor Mahia ya Kenya, iliyotwaa kombe la michuano ya SportPesa iliyomalizika hivi karibuni Dar es Salaam. Mchezo huo utafanyika Julai 13, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment