• HABARI MPYA

    Thursday, February 19, 2026

    SINGIDA BLACK STARS YASONGA MBELE KOMBE LA TFF

    WENYEJI, Singida Black Stars wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Copco FC ya Mwanza katika mchezo wa Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB leo Uwanja wa Airtel mjini Singida.
    Mabao ya Singida Black Stars katika mchezo huo wa Hatua ya Timu 64 yamefungwa na Ayoub Lyanga dakika ya 19, Linda Mtange  dakika ya 28 na Yusuph Khamis  dakika ya 75 wakati la Copco limefungwa na Rashid Kishiwa dakika ya 81. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA BLACK STARS YASONGA MBELE KOMBE LA TFF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top