• HABARI MPYA

    Friday, June 16, 2017

    HANS POPPE AMKAMATA OKWI KAMPALA 'FASTA'

    Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe (kushoto) akiwa na mshambuliaji wa zamani wa klabu hiyo, Emmanuel Okwi mjini Kampala, Uganda jana. Simba ipo katika harakati za kumrejesha mchezaji huyo anayechezea SC Villa ya kwao kwa sasa

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HANS POPPE AMKAMATA OKWI KAMPALA 'FASTA' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top