Nyota wa Barcelona, Mbrazil Neymar akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 65 timu yake ikifungwa 2-0 na wenyeji, Malaga katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga. Mabao ya wenyeji yamefungwa na Sandro Ramirez dakika ya 32 na Jony dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
More arctic air expected in parts of the South still covered in ice and
riddled with power outages
-
When a massive winter storm descended on the Northeast and parts of the
South over the weekend, Lisa Patterson planned to stick it out at her
family's home...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment