• HABARI MPYA

    Sunday, April 09, 2017

    NEYMAR ALIMWA KADI NYEKUNDU, BARCA YATANDIKWA 2-0 MALAGA

    Nyota wa Barcelona, Mbrazil Neymar akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 65 timu yake ikifungwa 2-0 na wenyeji, Malaga katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga. Mabao ya wenyeji yamefungwa na Sandro Ramirez dakika ya 32 na Jony dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR ALIMWA KADI NYEKUNDU, BARCA YATANDIKWA 2-0 MALAGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top