Wachezani wa Mouloudia Clab Alger wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kesho dhidi ya wenyeji, Yanga kwenye Uwanja huo
MC Alger walifanya mazoezi mepesi ili kuuzoea Uwanja wa Taifa
MC Alger waliowasili jana usiku kwa ndege yao maalum ya kodi walionekana wachangamfu kwenye mazoezi yao
Na wana wana wachezaji wengi wenye maumbo makubwa
Lakini pia wanaonekana ni wenye kunyumbulika pamoja na ukubwa wa miili yao
Hapa wakijadiliana baada ya mazoezi yao, huku Waandishi wao waliokuja nao wakichukua habari
Labour ‘gaslighting public’ with edited clip of Reform’s by-election
candidate
-
Labour has been accused of peddling misinformation by sharing a misleading
clip from a speech made by Reform UK’s candidate in the Gorton and Denton
by-ele...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment