Wachezani wa Mouloudia Clab Alger wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kesho dhidi ya wenyeji, Yanga kwenye Uwanja huo
MC Alger walifanya mazoezi mepesi ili kuuzoea Uwanja wa Taifa
MC Alger waliowasili jana usiku kwa ndege yao maalum ya kodi walionekana wachangamfu kwenye mazoezi yao
Na wana wana wachezaji wengi wenye maumbo makubwa
Lakini pia wanaonekana ni wenye kunyumbulika pamoja na ukubwa wa miili yao
Hapa wakijadiliana baada ya mazoezi yao, huku Waandishi wao waliokuja nao wakichukua habari
NFL Rumors: Jaycee Horn's $12.5M Panthers Contract Option Picked Up for
2025 Season
-
A busy weekend for the Carolina Panthers continued with cornerback Jaycee
Horn set to have his fifth-year option picked up. Per NFL Network's Ian
Rapoport,…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment