• HABARI MPYA

    Friday, April 07, 2017

    MC ALGER WALIVYOJIFUA LEO UWANJA WA TAIFA

    Wachezani wa Mouloudia Clab Alger wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kesho dhidi ya wenyeji, Yanga kwenye Uwanja huo  
    MC Alger walifanya mazoezi mepesi ili kuuzoea Uwanja wa Taifa   
    MC Alger waliowasili jana usiku kwa ndege yao maalum ya kodi walionekana wachangamfu kwenye mazoezi yao 
    Na wana wana wachezaji wengi wenye maumbo makubwa
    Lakini pia wanaonekana ni wenye kunyumbulika pamoja na ukubwa wa miili yao
    Hapa wakijadiliana baada ya mazoezi yao, huku Waandishi wao waliokuja nao wakichukua habari
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MC ALGER WALIVYOJIFUA LEO UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top