Isco akishangilia na Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Sporting Gijon katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Isco pia alifunga bao la kwanza dakika ya 17 wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 59 wakati mabao ya Gijon yamefungwa na Duje Cop dakika ya 14 na Mikel Vesga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Expert reveals why Man United's fall down football's Money League could be
a huge blow to their fans - and how rivals Liverpool leapfrogged them
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY JAMES SHARPE: Even through the club boasted record
revenues last year of almost £666m, their dismal on-field showings have
left them...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment