Isco akishangilia na Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Sporting Gijon katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Isco pia alifunga bao la kwanza dakika ya 17 wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 59 wakati mabao ya Gijon yamefungwa na Duje Cop dakika ya 14 na Mikel Vesga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man who fatally shot ex-Saints star Will Smith after 2016 car crash gets 25
years in jail
-
Cardell Hayes, 36, was convicted of manslaughter in Dec. 2016 but the jury
vote had been 10-2 and the conviction was later tossed after the US Supreme
Cour...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment