Mousa Dembele (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-min dakika ya 19, Harry Kane dakika ya 48 na Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
College Athletes Can Play During Sexual Misconduct Inquiries Under Title IX
Revision
-
Colleges cannot discipline student-athletes accused of sexual misconduct
until an investigation into the allegations is complete, according to a
Title IX…
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment