Beki wa Mwadui FC, Joram Mgeveke akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Yanga ilishinda 2-0
Mgeveke akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji mwingine wa Yanga, Amissi Tambwe
Amissi Tambwe (katikati) akiifungia Yanga bao la kwanza. Bao la pili lilifungwa na Ngoma
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mwadui FC
Kikosi cha Yanga jana Uwanja wa Kambarage
Kikosi cha Mwadui FC kabla ya mchezo na Yanga jana Uwanja wa Kambarage
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment