Mkurugenzi wa kampuni ya AIG, Imani Kajula (kushoto) akimkabidhi tuzo ya Mchezaji Bora wa Agosti beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo dhidi ya Azam FC. Anayeshuhudia katikati ni Makamu wa Rais wa Simba ambayo imeshinda 1-0, Geoffrey Nyange 'Kaburu'




.png)
0 comments:
Post a Comment