• HABARI MPYA

    Sunday, September 18, 2016

    KICHUYA ALIVYOSHANGILIA BAO LAKE DHIDI YA AZAM

    Winga wa Simba, Shizza Kichuya akipiga saluti mbele ya mashabiki wa Simba kushangilia bao lake alilofunga pekee alilofunga jana katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
    Kichuya akiwa amebebwa na mshambuliaji Mrundi, Laudit Mavugo kushangilia bao hilo
    Kichuya akiwa amezongwa na wachezaji wenzake kushangilia bao hilo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KICHUYA ALIVYOSHANGILIA BAO LAKE DHIDI YA AZAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top