Mshambuliaji wa Simba SC, Frederic Blagnon raia wa Ivory Coast (kulia) akijivuta kupiga shuti mbele ya walinzi wa Mtibwa Sugar, Shaaban Nditi (katikati) na Salim Mbonde (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate akimiliki mpira jana Uwanja wa Uhuru
Mnyate katikati ya wachezaji wa Mtibwa Sugar jana Shamba la Bibi
Kikosi cha Simba SC kilichoanza katika mchezo wa jana
Mfungaji wa bao la kwanza la Simba jana, Ibrahim Hajib akiubusu mpira huku akifuatwa na mshambuliaji mwenzake wa Wekundu hao wa Msimbazu, Laudit Mavugo
Hii ni dua kabla ya mcheo kuomboleza maafa ya tetemeko la ardhi Bukoba mkoani juzi na jana
Ex-Wales, Burnley and Swansea winger James dies aged 71
-
Leighton James, the former Burnley Swansea and Wales winger, dies at the
age of 71.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment