Mario Balotelli ameanza vizuri katika klabu yake mpya, Nice baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Marseille, moja la penalti kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa Uwanja wa Allianz Riviera. Bao lingine la Nice lilifungwa na Wylan Cyprien wakati mabao ya Marseille yalifungwa na Florian Thauvin na Bafetimbi Gomis kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England to play Ukraine World Cup qualifier at Everton
-
The Lionesses will host Ukraine in their Women's World Cup qualifier at the
Hill Dickinson Stadium in June.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment