• HABARI MPYA

    Monday, September 12, 2016

    BALOTELLI AANZA VYEMA UFARANSA, APIGA MBILI NICE YAWANYUKA 3-2 MARSEILLE

    Mario Balotelli ameanza vizuri katika klabu yake mpya, Nice baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Marseille, moja la penalti kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa Uwanja wa Allianz Riviera. Bao lingine la Nice lilifungwa na Wylan Cyprien wakati mabao ya Marseille yalifungwa na Florian Thauvin na Bafetimbi Gomis kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AANZA VYEMA UFARANSA, APIGA MBILI NICE YAWANYUKA 3-2 MARSEILLE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top