Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Big Board: Best Available Players After Day 1
-
Round 1 of the 2024 NFL draft is complete. While the opening night saw many
of the top prospects come off the board, it's important to remember that
the dr...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment