Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
House price growth forecast: London expected to lag behind East Midlands
and North West by 2028
-
Property firm Hamptons, which made the forecast, said London ‘is being held
back by higher stamp duty and broader tax anxieties’
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment