• HABARI MPYA

    Sunday, September 18, 2016

    MAN UNITED YAPIGWA TENA, YATANDIKWA 3-1 NA WATFORD

    Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAPIGWA TENA, YATANDIKWA 3-1 NA WATFORD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top