• HABARI MPYA

    Saturday, September 10, 2016

    LIVERPOOL YAWAFUMUA 4-1 MABINGWA LEICESTER CITY

    Adam Lallana akifurahia na Sadio Mane (Namba 19) mgongoni baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino mawili, wakati la Leicester lilifungwa na Jamie Vardy  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAWAFUMUA 4-1 MABINGWA LEICESTER CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top