• HABARI MPYA

    Sunday, September 18, 2016

    SIMBA NA AZAM KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Winga wa Simba SC, Shizza Ramadhani Kichuya akimtoka beki wa Azam FC, Mzimbabwe Bruce Kangwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0 bao pekee la Kichuya  
    Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimiliki mpifra mbele ya winga Muivory Coast wa Azam FC, Ya Thomas Renardo
    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude 
    Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe akimtoka kiungo wa Simba, Jamal Mnyate 
    Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib (katikati) akimtoka kiungo wa Azam FC, Himid Mao Mkami (kushoto)
    Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akienda chini baada ya kukwatuliwa na winga wa Azam FC, Ya Thomas Renardo  
    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Simba, Novaty Lufunga na Mohamed Hussein 'Tshabalala'
    Wazimbabwe; Beki Method Mwanjali wa Simba akimtoka Bruce Kangwa wa Azam FC
    Shizza Kichuya akimtoka kiungo wa Azam FC, Frank Domayo
    Vikosi vya timu zote mbili vikiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA AZAM KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top