Winga wa Simba SC, Shizza Ramadhani Kichuya akimtoka beki wa Azam FC, Mzimbabwe Bruce Kangwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0 bao pekee la Kichuya
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimiliki mpifra mbele ya winga Muivory Coast wa Azam FC, Ya Thomas Renardo
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude
Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe akimtoka kiungo wa Simba, Jamal Mnyate
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib (katikati) akimtoka kiungo wa Azam FC, Himid Mao Mkami (kushoto)
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akienda chini baada ya kukwatuliwa na winga wa Azam FC, Ya Thomas Renardo
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Simba, Novaty Lufunga na Mohamed Hussein 'Tshabalala'
Wazimbabwe; Beki Method Mwanjali wa Simba akimtoka Bruce Kangwa wa Azam FC
Shizza Kichuya akimtoka kiungo wa Azam FC, Frank Domayo
Vikosi vya timu zote mbili vikiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa jana
CAF Announce dates CAF CL and CC Finals
-
The Confederation of African Football Caf has announced the dates of the
two-legged Caf Champions League and Caf Confederation Cup finals in May.
Mamelod...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment