Winga wa Simba SC, Shizza Ramadhani Kichuya akimtoka beki wa Azam FC, Mzimbabwe Bruce Kangwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0 bao pekee la Kichuya
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimiliki mpifra mbele ya winga Muivory Coast wa Azam FC, Ya Thomas Renardo
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo wa Simba, Jonas Mkude
Beki wa Azam FC, Shomary Kapombe akimtoka kiungo wa Simba, Jamal Mnyate
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib (katikati) akimtoka kiungo wa Azam FC, Himid Mao Mkami (kushoto)
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akienda chini baada ya kukwatuliwa na winga wa Azam FC, Ya Thomas Renardo
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Simba, Novaty Lufunga na Mohamed Hussein 'Tshabalala'
Wazimbabwe; Beki Method Mwanjali wa Simba akimtoka Bruce Kangwa wa Azam FC
Shizza Kichuya akimtoka kiungo wa Azam FC, Frank Domayo
Vikosi vya timu zote mbili vikiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa jana
Uzalishaji wa mazao ya chakula nchini waimarika
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula
nchini imeimarika na kufikia tani milioni 15.9 kwa msimu wa mwaka 2016/2017
na 2...
Brendan Rodgers commits to Celtic amid Arsenal talk
-
Brendan Rodgers insisted only 'something extraordinary' would tempt him to
leave Celtic as he stressed his full intention to see out the remaining
three ye...
Marco Reus: 5 Tore in 8 Spielen
-
4:0 gegen Bayer Leverkusen – Borussia Dortmund feierte den höchsten Sieg
unter Peter Stöger, der angesichts von 17:9 Torschüssen auch in dieser Höhe
in Ord...
BUSWITA, NI SUALA LA BENCHI KUAMUA
-
KIUNGO Pius Buswita leo asubuhi amefanya mazoezi na sambamba na
wachezaji wengine wa kikosi cha kwanza. kufuatia nafuu ya maumivu ya
kifundo cha mguu ya...
0 comments:
Post a Comment