Mshambuliaji Diego Costa wa Chelsea (19) akishangilia na wachezaji wenzake, Victor Moses na Branislav Ivanovic baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 81 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea. Costa pia alifunga bao la kwanza la Chelsea dakika ya 18, wakati mabao ya Swansea yalifungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 59 na Leroy Fer dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Uefa rejects Benfica appeal over Prestianni ban
-
Gianluca Prestianni will miss the second leg of Benfica's Champions League
tie against Real Madrid after Uefa reject the club's appeal against his
suspension.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment