Mshambuliaji Diego Costa wa Chelsea (19) akishangilia na wachezaji wenzake, Victor Moses na Branislav Ivanovic baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 81 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea. Costa pia alifunga bao la kwanza la Chelsea dakika ya 18, wakati mabao ya Swansea yalifungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 59 na Leroy Fer dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment