Wachezaji wa Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars wakiingia uwanjani kwa ajili ya mchezo wa Kombe la CECAFA Challenge dhidi ya Zambia Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza mwaka 1992. Stars ilifungwa 2-1 licha ya kutangulia kwa bao la Edibily Lunyamila dakika ya 11, Kelvin Mutale akasawazisha dakika ya 33 na kufunga la ushindi dakika ya 56. Stars iliokuwa Kundi B ilitolewa baada ya kushika nafasi ya tatu nyuma ya Malawi na Zambia, zilizofuzu Nusu Fainali. Timu nyingine katika kundi hilo, zilikuwa Zanzibar na Ethiopia. Timu B ya Tanzania, Kakakuona iliyokuwa Kundi A Arusha, ilifika hadi fainali na kufungwa na 1-0 na Uganda, bao pekee la Issa Sekatawa dakika ya 77.
Duke's Mark Mitchell Commits to Missouri; 5-Star Sean Stewart Enters
Transfer Portal
-
The Duke University men's basketball team lost a pair of highly touted
recruits to the transfer portal on Friday. Forward Mark Mitchell, who
played two…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment