Winga wa Simba SC, Brian Majwega akimtoka kiungo wa Mwadui FC, Razack Khalfan katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Mwadui ilishinda 1-0
Beki wa Mwadui FC, Abdallah Mfuko akigeuka na mpira pembeni ya kiungo wa Simba, Said Ndemla jana
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akipiga mpira dhidi ya wachezaji wa Mwadui FC jana
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akimtoka kiungo wa Mwadui FC na mfungaji wa bao pekee la jana, Jamal Mnyate
Beki wa Simba, Emery Nimubona akiwahi mpira mbele ya beki wa Mwadui FC, David Luhende
Beki wa Mwadui FC, Abdallah Mfuko akigeuka na mpira pembeni ya kiungo wa Simba, Said Ndemla jana
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto akipiga mpira dhidi ya wachezaji wa Mwadui FC jana
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akimtoka kiungo wa Mwadui FC na mfungaji wa bao pekee la jana, Jamal Mnyate
Beki wa Simba, Emery Nimubona akiwahi mpira mbele ya beki wa Mwadui FC, David Luhende
Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza akipambana katikati ya wachezaji wa Mwadui FC, Abdallah Mfuko (kulia) na Hassan Kabunda (kushoto) |
0 comments:
Post a Comment