Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili (dakika za 26 na 59) katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Valencia jioni ya leo Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real limefungwa na Karim Benzema dakika ya 42, wakati ya Valencia yamefungwa na Rodrigo dakika ya 55 na Andre Gomes dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kevin Durant passes Michael Jordan and LeBron James breaks another major
record on historic night in NBA
-
Saturday proved to be a historic night in the NBA for both Los Angeles
Lakers star LeBron James and his long-time rival, Houston Rockets forward
Kevin Durant.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment