Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Tiger Woods to Get $100M PGA Tour Equity Payout; Rory McIlroy Could
Get $50M
-
Tiger Woods will receive "up to $100 million," while Rory McIlroy could get
$50 million as equity payments from the PGA Tour after neither golfer
joined Sa...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment