Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Salah is destroying his legacy - Rooney
-
Mohamed Salah is destroying his legacy and should not be involved in
Liverpool's next two games before he goes off to the Africa Cup of Nations,
says Wayne...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment