Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 1-0 baada ya awali kutoa sare ya 0-0 mjini Manchester na sasa watakutana na mahasimu wao, Atletico Madrid Uwanja wa San Siro mjini Milan Mei 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers heavy CRASH during final practice ahead of Abu Dhabi
Grand Prix as nightmare debut season with Ferrari hits fresh low
-
Lewis Hamilton's nightmare debut season with Ferrari is showing no signs of
abating after the seven-time world champion suffered a heavy crash in third
pra...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment