Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 1-0 baada ya awali kutoa sare ya 0-0 mjini Manchester na sasa watakutana na mahasimu wao, Atletico Madrid Uwanja wa San Siro mjini Milan Mei 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment