Bondia Sajjad Mehrab wa Iran (kulia) akiwa na kocha wake Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam baaa ya kuwasili nchini kwa ajili ya pambano dhdidi ya mwenyeji wake, Thomas Mashali Mei 14, mwaka huu Uwanja wa ndani wa Taifa
Sajjad Mehrab akiwa na kocha wake na Rais wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), Emmanuel Mlundwa (katikati)
Sajjad Mehrab akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari nchini JNIA
Sajjad Mehrab akiwa na kocha wake na Rais wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), Emmanuel Mlundwa (katikati)
Sajjad Mehrab akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari nchini JNIA
0 comments:
Post a Comment