Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment