Bondia Arnold Gjergjaj akipepesuka kuelekea chini baada ya kupigwa ngumi mfululizo na mpinzani wake David Haye katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 mjini London, Uingereza. Haye alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili akimuangusha mara nne mpinzani wake huyo na sasa anaweza kurudi tena ulingoni Septemba kuzipiga na Mmarekani Shannon Briggs ambaye pia alishinda pambano lake usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft Rumors: Teams Feel Michael Penix Jr. is a 1st-Round Lock amid
Raiders Buzz
-
It's been assumed for weeks that four quarterbacks were assured of being
selected in the first round of the 2024 NFL draft, but there is growing
buzz that a…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment